Location

Location

Equipment

EguipmentII

tents, chairs and tents

tents, chairs and tents
tentschairsntables

Mobile toilets

Mobile toilets

Thursday, November 13, 2014

Harusi ya Emmanuel na Ikunda ilifanyika katika kanisa la Mt Gasper lililopo mbezi beach na sherehe ilifanyika katika bustani ya Shekina iliyopo mbezi makonde- Dsm.

Bibi harusi wetu Ikunda akiwa saluni.







Kanisani St Gasper


Pete kidoleni


Picha katika bustani




Mr & Mrs Emma wakiwa na wazazi












Bibi harusi akiwa na Matron saluni baada ya kurembwa

Just a pose.  Nice one






Wednesday, November 5, 2014

Harusi ya James na Happiness. Ndoa ilifungwa katika kanisa la Mt Joseph lililopo posta na tafrija ilifanyika kwenye ukumbi wa Kristo Mfalme-Tabata jijini Dar es salaam.



 Bibi harusi akiwa saluni 
Matron baada ya kumaliza kupambwa





St Joseph Church

Wakiingia kanisani

Pete kidoleni



Picha za ufukweni








Mr & Mrs James wakikata keki

Hakika maids walipendeza haswaa